Saudia

Article in other languages:

المملكة العربية السعودية
Al-Mamlaka al-'Arabiyya as-Sa'ūdiyya

Ufalme wa Uarabuni wa Saudia
Flag of Saudi Arabia Nembo ya Saudi Arabia
Bendera Nembo
Wito la taifa: لا إله إلا الله محمد رسول الله(Kiarabu)
Lā ilāhā illā-llāhu; muhammadun rasūlu-llāhi
"Hakuna mungu ila Allah; Muhammad ni mtume wa Allah"
Wimbo wa taifa: ash al malik ("Asifiwe mfalme")
Lokeshen ya Saudi Arabia
Mji mkuu Riyadh
24°39′ N 46°46′ E
Mji mkubwa nchini Riyad
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme
Abdullah bin Abdulaziz wa Saudia
Sultan bin Abdul Aziz wa Saudia
Kuanzishwa
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
Iliunganishwa



8 Januari 1926
20 Mei 1927
23 Septemba 1932
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,149,690 km² (ya 14)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
27,019,7311 (ya 46 2)
11/km² (ya 205)
Fedha Riyal (SAR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
+3 (UTC)
Intaneti TLD .sa
Kodi ya simu +966
Alama ya kimataifa ya magari +{{{vehicle_code}}}
1 Kadirio la jumla ya wakazi pamoja na watu 5,576,076 wasio wazalendo

Ufalme wa Uarabuni wa Saudia (المملكة العربية السعودية, al-mamlaka al-'arabiyya as-sa'audiyya ) ni nchi kubwa kati ya nchi za Bara Arabu. Imepakana na Yordani, Iraq, Kuwait, Qatar, Bahrain, Falme za Kiarabu, Oman na Yemen. Kuna pwani la Ghuba la Uajemi upande wa kaskazini-mashariki na Bahari ya Shamu upande wa magharibi.

Mara nyingi inaitwa "al-haramain" yaani nchi ya mahali patakatifu pawili kwa kumaanisha miji ya Makka na Madina ambayo ni patakatifu pa Uislamu.

Jina la nchi limefuata familia ya watawala wa familia ya Saud.

Sa-map.png

Tazama pia

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.
Asia.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saudia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Questions for article: mfalme wa saudi arabia, saudiasex, saudiasex free, saudiasex.com, sex in saudia, www.saudia sex.com, www.saudiasex, www.saudiasex.com

This article is from Wikipedia. All text is available under the terms of the GNU Free Documentation License.


IHS Europe: Infrared Heating Systems for Home and Business.